Entertainment


Tarehe 28.05.2013 Tanzania ilipoteza mmoja wa wasanii aliekua na mashabiki wengi nchini Tanzania na Africa Mashariki, Albert Mangwea. Mbali na kua na muziki mzuri Albert mangwea alikua ni mtu aliependa sana ku’socialize na watu kwenye social networks sanasana twitter na katika kumbukumbu ya miaka miwili ya kifo chake tunakuletea baadhi ya tweets za Albert Mangwea alizo’tweet kipindi cha uhai wake na tungependa kuiita hii ‘NGWEA TWITTER TRIBUTE’.
Ifuatayo ni collection ya tweets za marehemu Albert Mangwea alizo’tweet kipindi cha uhai wake zikiwemo za vichekesho, za kumcha Mungu, ushahidi wa wapi ni alipopaona kama ni nyumbani zaidi kati ya Dodoma na Moro, ushahidi wa kuwepo album yake ya tatu pamoja na tweet yake ya mwisho ku’tweet katika uhai wake..



Zifuatazo ni tweets za vichekesho za Albert Mangwea






































Zifuatazo ni tweet za Albert Mangwea za kumcha Mungu















Hii ndo team aliyokua anaishabikia Albert katika ligi ya Uingereza



Hapa Albert alifunguka wapi anapoaona nyumbani zaidi kati ya Moro na Dodoma



Huu ndo ushahidi wa kuwepo Album ya 3 ya Albert mangwea baada ya’ Aka Mimi’ na Ng’e 1982




Tar 27.05.2013 ilikua ndo siku ambayo Albert Mangwea alipost tweet yake ya mwisho, na alichosema ni hiki hapa



Arranged/Prepared by  John Kapela
www.africanjam.com

Source : Twitter




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top