Entertainment

Mbinu mpya ya kusafirisha data ambayo hutumia mwangaza badala ya mawimbi ya radio imejaribiwa.
Li-fi ina uwezo wa kumfanya mtumiaji kupata huduma ya mtandao mara 100 zaidi ya Wi-Fi na hutoa kasi ya hadi Gigabait moja kwa kila sekunde.
Li-Fi inahitaji mwangaza kama vile wa glopu,huduma ya mtandao na sensa ya picha
Ilijaribiwa wiki hii na Velmenni mjini Tallinn Estonia.
Velminni ilitumia glopu ya li-fi inayoweza kusafirisha data kwa kasi ya Gigabait moja kwa sekunde.
Jaribio la maabara limeonyesha kuwa li-fi ina kasi ya hadi Gigabait 224 kwa sekunde.
Ilijaribiwa katika ofisi ili kuwasaidia wafanyakazi kupata huduma ya mtandao na katika kiwanda ambapo iliweka mwangaza

Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.

Follow us on Twitter @african_jam 
Like our Facebook page Africanjam.com




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top