Entertainment

nziza
Jaribio la kutaka kumpindua madarakani wakati akiwa Tanzania kwenye mkutano wa usuluhishi pamoja na Marais wengine wanaounga Jumuiya ya Afrika Mashariki halikufanikiwa na sasa uamuzi uliofikiwa ni kuahirishwa kwa uchaguzi wa Wabunge.
pier
Kingine kilichonifikia leo ni kwamba pamoja na machafuko yanayoendelea nchini humo Rais huyo kaonekana yuko zake uwanjani na wenzake akicheza mpira.
nziza2
Mtu mmoja amepigwa risasi ya mgongoni na askari wanaolinda usalama katika mji wa Bujumbura wakati wakiandamana.nziza4




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top