Entertainment

Siku chache kabla ya kuanza kwa Copa America 2015, watangazaji 8 wa kike wa nchi ya Venezuela walitengeneza video wakiwa uchi wakidai kuwasapoti wachezaji wa timu ya taifa kuelekea michuano hiyo.

Venezuel wameandika rekodi ya kushangaza baada ya kuichapa 1-0 Colombia kwenye mechi ya ufunguzi ya Copa America.
Katika kushangilia matokeo hayo, mwanamke mmoja Mtangazaji wa TV, Yuvi Pallares, aliamua kuripoti matokeo ya mechi hiyo akiwa mtupu.


Tazama video yenyewe hapa chini;



Toa maoni yako hapa chini kuhusu habari hii




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top