Entertainment

Kwenye U Heard January 7 2016 Soudy Brown ana stori ya kusikitisha kidogo leo !!
G Nako mkali wa chorus kutoka crew ya Weusi kwa bahati mbaya kapoteza pesa ambayo ni dola 3,000 wakiwa kwenye kikao cha wasanii !!
Kapatikana Baba Levo, ambaye amesimulia kwamba mazingira yanaonesha G Nakoalikaa akiwa amezungukwa na watu wake wa karibu ambao sio rahisi kumwibia G Nako, kwa hiyo huenda pesa hiyo kaangusha.
Nikk wa Pili ambae ni msemaji wa Weusi amesema bado hawajajua ni mazingira yapi pesa hizo zimepotea lakini zilikuwa ni dola 3,000 ambazo ni zaidi ya milioni 6.5 kwa pesa ya Kitanzania.
Africanjam is website that was launched  in December 2013 (with another domain) and on April 2014 the new domain Africanjam(dot)com came into use. It was found by John Kapela who is currently in Dar es Salaam Tanzania. This site provides news from Africa and all over the world in Politics, Sports and Entertainment. We also provide Technology tips, some Amazing Facts as well as Football updates from all over the world. Visit this site everyday for being in touch with everything happening in Africa and the whole world.

Follow us on Twitter @african_jam 
Like our Facebook page Africanjam.com




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top