Entertainment

Huu ndo ukumbi mpya wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ulioko mjini Dodoma. Ni ukumbi uliogharimu mamilioni ya fedha mpaka kukamilika na kua na mwonekano wa kisasa zaidi. Ukumbi huu utakua ukitumiwa na chama hicho katika mikutano yake ya kitaifa. Chini ni baadhi tu ya picha za ukuimbi huo katika pembe tofauti






About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top