Entertainment


Mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2008 kuisikia album ya staa wa muziki Janeth Jacksonambaye ni moja ya watoto mastaa kutoka kwenye familia ya mzee Joseph Walter “Joe” Jackson.. Familia yao yote iko kwenye Entertainment Industry, lakini kwa miaka saba Janeth hajawahi kuachia album wala single yoyote .


Ujio wake mwingine rasmi kabisa ni huu ndani ya 2015, kaachia hii single inayoitwa ‘No Sleep‘, nimeisogeza hapa uisikilize alafu utaniambia kwenye comment yako kama huu ujio unaounaje.




About qwerty

«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post

Top